Skip to content

Latest commit

 

History

History
315 lines (158 loc) · 19.1 KB

File metadata and controls

315 lines (158 loc) · 19.1 KB

BBC News Swahili

Idadi ya waliofariki Nepal yafikia 1,287, huku 5,083 hawajulikani walipo

__

Hili ni ongezeko kutoka kwa takwimu za awali zilizotolewa na polisi nchini humo, ambazo zilisema watu 1,280 walikuwa wamefariki.

Utafiti: Zaidi ya nusu ya wanawake wanaamini kuna mazingira yanayoweza kuhalalisha mume kumpiga mke

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 12:00:40

Mkurugenzi wa shirika la kutetea haki za wanawake la Setawit, Dkt. Sena Tefera, amesema inatia wasiwasi kuona wanawake wengi kuliko wanaume wakiamini kuwa ukatili wa majumbani unaweza kuhalalishwa.

Unyanyasaji wa kingono kwa wanawake katika jeshi la Ukraine na propaganda za Urusi

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 10:03:21

Chaneli za Telegram za Urusi zinatumia madai ya uongo ya ubakaji na picha za wanawake wa Ukraine kuwavuta mamilioni ya watumiaji kwenye mitandao ya propaganda inayounga mkono vita.

Lissu mahakamani: Golugwa ahoji kupuuzwa kwa malalamishi yao

__

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.

Lifahamu Kombora la 'Kheibar Sheikan' linalotumika na Iran dhidi ya kambi za Marekani

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 05:58:58

Kheibar Shekan, kombora la Iran lenye masafa ya kati, linasemekana kuwa na nafasi muhimu katika kuchochea ongezeko la mvutano kati ya Marekani na Israel.

Kwa nini makamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Marekani wanajiuzulu?

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 05:01:11

Kujiuzulu kwa Waziri wa Jeshi la Marekani, Dan Driscoll, kumeibua tena mjadala kuhusu mwenendo wa mambo ndani ya Pentagon.

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Everton inamuwinda Vardy ambaye ni mchezaji huru

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 02:57:01

Everton inatathmini uwezekano wa kuwasajili Jamie Vardy au Anthony Martial. Wakati huo huo, Wilfried Zaha anaweza kuhamia AC Milan, huku Estevao Willian akifikiria kuondoka Chelsea kutafuta nafasi zaidi ya kucheza.

Vijana wanavyotumia dawa "kukwepa uhalisia"

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 11:05:19

Akiwa na umri wa miaka 14, Xiaomei, mwanafunzi stadi kutoka mkoa wa pwani nchini Uchina, alimeza dawa ya kikohozi kupita kiasi.

'Wizi wa nyeti': Jinsi mitandao ya kijamii ilivyochochea uvumi uliogeuka mauaji

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 04:51:03

Zaidi ya watu 80 wamepoteza maisha kutokana na mashambulizi ya umati, uchunguzi wa BBC umebaini baada ya kukusanya takwimu kutoka mataifa sita barani Afrika.

WARIDI WA BBC: 'Ulishawahi kumuona bilionea Mo Dewji akifunza watu elimu ya fedha'?

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 03:25:40

Kuishi nje ya kipato ni moja kati ya makosa ambayo baadhi ya watu wanafanya kwa kujua au kwa kutojua.

Jinsi nilivyomtafuta aliyemlaghai mama yangu kimapenzi

Jumatano, 2 Septemba 2026 saa 09:49:03

“Yahoo Boys” wa Nigeria ni vijana wanaotumia simu zao na ujanja wao kuwashawishi baadhi ya wahanga wawape maelfu ya dola.

'Dharau na kiburi' vilivyomfukuzisha Nchimbi CCM

Jumamosi, 29 Agosti 2026 saa 11:47:27

Hii ni kauli ya kwanza kutoka kwa kiongozi wa CCM kueleza hadharani mazingira na uamuzi wa kumfukuza Nchimbi katika chama hicho.

Majengo 8 yenye rangi za kuvutia zaidi duniani

Jumatano, 2 Septemba 2026 saa 05:59:21

Matumizi ya rangi kuwasilisha hisia za furaha na uzuri yamekuwepo kwa maelfu ya miaka.

Jinsi papa wanavyojenga urafiki wa karibu baharini

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 05:58:25

"Papa mara nyingi huonekana kama viumbe wapweke, lakini utafiti mpya unaonyesha kwamba papa wana uhusiano mkubwa na maisha tata ya kijamii."

Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 03:57:06

Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?

Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 22:08:18

Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.

Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?

Alhamisi, 27 Agosti 2026 saa 10:56:06

Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.

Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia

Alhamisi, 27 Agosti 2026 saa 05:25:56

Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.

Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?

Ijumaa, 21 Agosti 2026 saa 11:30:27

Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?

Je, Iran itaishambulia Ulaya?

Alhamisi, 20 Agosti 2026 saa 10:05:01

Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.

Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?

Jumatano, 19 Agosti 2026 saa 03:20:31

Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?

Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?

Ijumaa, 31 Julai 2026 saa 07:01:30

Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.

Hatari 5 zinazoitishia dunia 2026

Jumatano, 26 Agosti 2026 saa 09:54:19

Licha ya Afrika kuchangia kwa kiwango kidogo katika mabadiliko ya tabianchi, bado ni miongoni mwa maeneo ambayo hayajajitayarisha vya kutosha kukabiliana na madhara yake ya moja kwa moja.

Vyakula 5 vya Kiafrika ambavyo sayansi inaviona kuwa bora kwa afya

Jumapili, 30 Agosti 2026 saa 06:02:39

Kuanzia Moringa hadi Fonio, na ikijumuisha Baobab, Mtama, na Teff, vyakula kadhaa vya Kiafrika vinajulikana kwa utajiri wake wa virutubisho.

Je, ni rahisi kuifanya Iran kuwa maskini kuliko kuilazimisha kusalimu amri?

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 11:58:19

Siku moja baada ya kutangazwa kwa kampeni mpya ya Marekani ya kuweka shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran, vyombo vikuu vya habari nchini humo vilikubaliana katika jambo moja

Kutoka Nyoka hadi Buibui: Wanyama hawa ni Hatari kweli au Hisia zetu tu?

Jumanne, 1 Septemba 2026 saa 10:52:02

Unahisi vipi wakati buibui anapokimbia ghafla sebuleni? Buibui wengi wana sumu, lakini ni idadi ndogo tu kati yao inayoweza kuhatarisha maisha ya binadamu.

"Ukikimbia wanakupiga risasi, ukijificha wanachoma nyumba"

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 04:39:17

"Ukikimbia kuingia katika chumba, wanachoma chumba hicho moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia, wanakupiga risasi."

Maandalizi ya mwisho wa dunia: Je, uko tayari?

Jumatatu, 31 Agosti 2026 saa 05:08:46

Je, dunia ikikumbwa na janga kubwa, utaweza kuishi? Wataalamu wa maandalizi ya majanga wanaeleza mambo muhimu unayohitaji ili kujiandaa engapo hali hii itatokea.

Je, unataka kuhamia Ulaya?  - hii hapa siri

Jumapili, 30 Agosti 2026 saa 04:15:50

"Ni mji mzuri na wenye kukaribisha," anasema Sunday, mmoja wa wateja wa Anik, ambaye amehamia hapo hivi karibuni akitokea Devon.

Je, unapaswa kuosha kuku mbichi?

Jumatatu, 31 Agosti 2026 saa 06:19:13

Hili ni swali ambalo limekuwa likizua mjadala mkali kwa miaka mingi miongoni mwa familia, kwenye mitandao ya kijamii, na miongoni mwa marafiki.

Mambo 10 yatakayokusaidia kuwa tajiri

Ijumaa, 28 Agosti 2026 saa 09:47:39

Si rahisi kuanzisha biashara na kuifanya ifanikiwe bila kuweka juhudi na kufikiri kwa kina. Mambo haya yamekuwa msingi wa mafanikio yaliyowafanya baadhi ya watu matajiri zaidi duniani kuwa mabilionea.

Dira Ya Dunia

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Jumatano, 2 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Dira Ya Dunia

Jumanne, 1 Septemba 2026 saa 16:29:30

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Ijumaa, 4 Septemba 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 04:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

Amka Na BBC

Alhamisi, 3 Septemba 2026 saa 03:29:00

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki